Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb26 Machi kur. 12-13
  • Aprili 20-26

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 20-26
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2026
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2026
mwb26 Machi kur. 12-13

APRILI 20-26

ISAYA 54-55

Wimbo 86 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Uko Tayari Kudhabihu Nini?

(Dak. 10)

Yehova aliahidi kuwafundisha wana wake (Isa 54:13; w09 9/15 21 ¶3)

Ni lazima tutumie muda wetu ili kununua kweli (Isa 55:​1, 2; w18.11 4 ¶6-7)

Kusikiliza kwa makini kunahitaji jitihada, lakini kufanya hivyo kutaokoa uhai wetu (Isa 55:3; be 14 ¶3-5)

Ndugu akinyoosha mkono ili atoe maelezo wakati wa mkutano wa kutaniko.

JIULIZE, ‘Ninawezaje kuboresha mazoea yangu ya kujifunza?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Isa 54:17—Sehemu ya kwanza ya mstari huu inatukumbusha kweli gani tatu muhimu? (w19.01 6 ¶14-15)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Isa 54:​1-10 (th somo la 11)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) NYUMBA KWA NYUMBA. Shiriki kweli kutoka kwenye nyongeza A ya broshua Wapende Watu. (lmd somo la 1 jambo kuu la 4)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. Shiriki kweli kutoka kwenye nyongeza A ya broshua Wapende Watu. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)

6. Kufuatia Upendezi

(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. Mpe mtu huyo kadi ya mawasiliano. (lmd somo la 9 jambo kuu la 3)

7. Hotuba

(Dak. 5) be 28 ¶3–31 ¶2—Kichwa: Jinsi ya Kujifunza. (th somo la 14)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 97

8. Jinsi ya Kushinda Changamoto Zinazokuzuia Kujifunza Kibinafsi

(Dak. 15) Mazungumzo.

Mama akisoma Biblia asubuhi na mapema huku binti yake akiwa bado amelala.

Kuna changamoto nyingi zinazotuzuia kudumisha ratiba ya kujifunza kibinafsi kwa ukawaida. Wazia kwamba unajaribu kumtia moyo Mkristo mwenzako anayepambana ili kuwa na ratiba nzuri ya funzo la kibinafsi na kuwa na usomaji wa Biblia wa kila siku. Anakueleza kwamba anakabili changamoto zifuatazo. Katika kila changamoto, andika angalau pendekezo moja, kanuni ya Kimaandiko, au rejeo la chapisho linaloweza kumsaidia.

  • “Sisomi vizuri”

  • “Sifurahii kujifunza”

  • “Sijui nianzie wapi kusoma Biblia au nisome kiasi gani kila siku”

  • “Kuna habari nyingi sana za kujifunza! Ninapaswa kujifunza nini kila juma?”

  • “Ratiba yangu ina shughuli nyingi hivi kwamba si rahisi kwangu kupata muda wa kujifunza”

  • “Ni vigumu kwangu kukaza fikira na wakati mwingine sikumbuki mambo niliyojifunza”

Onyesha VIDEO Funzo la Kibinafsi Lenye Matokeo. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Ni mapendekezo gani ya kufanya funzo la kibinafsi liwe lenye matokeo zaidi uliyofurahia?

9.Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) lfb somo la 78-79

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 70 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki