APRILI 27–MEI 3
ISAYA 56-57
Wimbo 12 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Tunafurahi Kwamba Yehova Ni Mungu Wetu
(Dak. 10)
Sanamu haziwezi kuwasaidia wale wanaozitegemea ili kupata msaada (Isa 57:13; ip-2 269 ¶14-16)
Watu wasiomjua Yehova hawana amani na wamegawanyika (Isa 57:20; w18.06 7 ¶16; it “Dunia” ¶21)
Hakuna amani kwa waovu (Isa 57:21; it “Amani” ¶3)
JIULIZE, Kuwa na uhusiano mzuri na Yehova kunaboreshaje maisha yangu?
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Isa 56:6, 7—Unabii huu unatimizwaje? (w07 1/15 10 ¶3; w06 11/1 27 ¶1)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Isa 56:4-12 (th somo la 5)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mweleze mtu huyo kuhusu jambo ulilojifunza kwenye mkutano hivi karibuni. (lmd somo la 2 jambo kuu la 4)
5. Kufafanua Imani Yako
(Dak. 5) Hotuba. ijwbq makala ya 90—Kichwa: Je, Ni Lazima Mtu Awe Katika Dini Fulani? (th somo la 16)
6. Kufanya Wanafunzi
Wimbo 58
7. Usiache Kamwe Kuzungumza Kumhusu Yehova
(Dak. 15) Mazungumzo.
Watu wasiomjua Yehova hawana mwongozo unaotegemeka, hawana kusudi lenye kuridhisha maishani, na hawana tumaini la kweli. Licha ya hilo, watu wengi wanaukataa ujumbe wa Ufalme bila kujua jinsi ambavyo ujumbe huo unaweza kuwasaidia. Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazotusaidia tusivunjike moyo au kukata tamaa hata wengine wanapokataa kutusikiliza.—Mhu 11:6.
Eneo letu hubadilika kila mara. Huenda wenye nyumba wasiopendezwa na ujumbe wetu wakahama, na watu wengine wanaohamia katika nyumba hizo wakawa tayari kusikiliza
Huenda mtu tofauti akazungumza nasi tunapotembelea tena nyumba hiyo. Mzazi mwenye umri mkubwa, mtoto ambaye sasa ni mtu mzima, mtu mpya anayeishi naye au mgeni, anaweza kufungua mlango
Watu hubadilika. (1Ti 1:13) Kadiri hali za ulimwengu zinavyozidi kuzorota au mtu anapokabili msiba anaweza kubadilika na kuwa tayari kusikiliza
Bidii yetu inaonyesha upendo wetu kwa Yehova.—Lu 6:45; 1Yo 5:3
Onyesha VIDEO Yehova “Hayuko Mbali.” Kisha waulize wasikilizaji:
Umejifunza masomo gani kuhusu kuwa na bidii katika huduma yetu?
8. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo la 80-81