MACHI 16-22
ISAYA 45-47
Wimbo 2 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. “Mimi Ni Mungu, na Hakuna Aliye Kama Mimi”
(Dak. 10)
Hakuna aliye kama Yehova (Isa 46:9; w20.06 5 ¶14)
Hakuna kinachoweza kumzuia Yehova kutimiza kusudi lake (Isa 46:10, 11; cl 42 ¶14; it “Watu Walio Uhamishoni Warudi Kutoka Babiloni” ¶1)
Wale wanaotumaini miungu ya uwongo huvunjika moyo (Isa 46:6, 7; w99 5/15 14 ¶18-19)
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Isa 46:10—Je, Yehova alijua “tangu mwanzo” kwamba Adamu na Hawa wangefanya dhambi? (w11 1/1 14 ¶2-3)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Isa 45:1-11 (th somo la 5)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. Mweleze mtu ambaye si Mkristo kuhusu Ukumbusho. (lmd somo la 5 jambo kuu la 3)
5. Kufuatia Upendezi
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo la Biblia na mtu ambaye alikubali mwaliko wa Ukumbusho ulipomtembelea katika ziara iliyotangulia. (lmd somo la 9 jambo kuu la 5)
6. Kufanya Wanafunzi
Wimbo 38
7. Chanzo Pekee Tunachoweza Kutegemea Ili Kupata Msaada
(Dak. 7) Mazungumzo.
Tunapokabili matatizo, Chanzo pekee tunachoweza kutegemea ili kupata msaada ni Mungu wetu, Yehova.—Ebr 13:5, 6.
Soma Zaburi 55:22. Kisha uzungumzie hali zifuatazo pamoja na wasikilizaji.
Katika kila hali, andika jambo moja linaloonyesha kwamba tunamtumaini Yehova na lingine linaloonyesha kwamba anatutegemeza.
Tunapoteza kazi au tunakosa pesa za kutosha ili kutegemeza familia yetu
Wenye mamlaka wanazuia utendaji wetu
Tunakabili matatizo makubwa ya kiafya
Tunakabili msiba, kama vile janga la asili au kifo cha mpendwa wetu
8. Ripoti ya 2026 ya Idara ya Usanifu-Majengo na Ujenzi
(Dak. 8) Hotuba.
9. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo la 70-71