Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w26 Februari uku. 32
  • Obadia​—⁠Sitawisha Sifa ya Kumwogopa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Obadia​—⁠Sitawisha Sifa ya Kumwogopa Mungu
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2026
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwa Hodari Kupitia Imani na Kumwogopa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Kwa Nini Tunapaswa Kumwogopa Yehova?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Kitabu Cha Biblia Namba 31—Obadia
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Obadia Anatoa Onyo na Faraja Kutoka kwa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2026
w26 Februari uku. 32

MHUSIKA KATIKA BIBLIA

Obadia—Sitawisha Sifa ya Kumwogopa Mungu

Obadia alikuwa msimamizi wa nyumba ya Mfalme Ahabu aliyekuwa mwovu, mtawala aliyeruhusu uovu wa ibada ya Baali ujae nchini. Hata hivyo, ‘tangu alipokuwa kijana,’ Obadia alimwogopa sana Yehova. (1 Fal. 18:​1-13) Hivyo, Malkia Yezebeli alipoamuru kwamba manabii wote wa Yehova wauawe, Obadia alijua kwamba alihitaji kutenda kwa ujasiri ili kuzuia uovu huo. Kumficha nabii mmoja tu kulikuwa jambo la hatari sana; hata hivyo, Obadia aliwaficha manabii 100 na aliwapatia chakula wakati wa njaa kali! Wazia jinsi ilivyokuwa vigumu sana kuepuka kugunduliwa na mamia ya manabii wa uwongo waliomtumikia mfalme na malkia.—1 Fal. 18:19.

Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa mwanamume huyo aliyemwogopa Mungu? Ingawa Obadia alimwogopa Ahabu, alimwogopa Mungu zaidi. Hilo lilimpa ujasiri wa kuhatarisha uhai wake ili kuwalinda ndugu zake. Ikiwa ibada ya kweli imepigwa marufuku katika eneo unaloishi, wewe pia unaweza kusitawisha sifa ya kumwogopa Mungu. Woga wa aina hiyo utatuimarisha ili tuwategemeze ndugu na dada zetu wanaokabili majaribu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki