Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Novemba uku. 16
  • Mpango wa Kuwafariji Wale Walio Betheli

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mpango wa Kuwafariji Wale Walio Betheli
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Jifunze Kutoka kwa “Mungu wa Faraja Yote”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2026
  • Maamuzi Yanayoonyesha Unamtegemea Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Tafuta Majibu ya Maswali Haya
    Programu ya Kusanyiko la Mzunguko la 2025-2026 Lililo na Mwangalizi wa Mzunguko
  • Tafuta Majibu ya Maswali Haya
    Programu ya Kusanyiko la Mzunguko la 2025-2026 Lililo na Mwakilishi wa Ofisi ya Tawi
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Novemba uku. 16

MAISHA YA MKRISTO

Mpango wa Kuwafariji Wale Walio Betheli

Kila mtu hupatwa na majaribu na anahitaji faraja na utegemezo. Hata wale ambao wana nguvu kiroho au wana mapendeleo ya pekee ya utumishi wanaweza kuvunjika moyo. (Ayu 3:​1-3; Zb 34:19) Tunaweza kujifunza nini kutokana na mpango wa kuwafanyia uchungaji washiriki wa familia ya Betheli?

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA “MTEGEMEE MUNGU,” KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Washiriki wa familia ya Betheli wanakabili matatizo gani?

  • Ni mambo gani manne yanayofanywa ili kuwafariji?

  • Kuwafariji wengine kumewasaidiaje ndugu wanaoandaa faraja?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki