Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp16 Na. 5 uku. 16
  • Biblia Inasema ni Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema ni Nini?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Ufalme wa Mungu ni nini?
  • Ufalme wa Mungu utakuja lini?
  • Ufalme Wa Mungu
    Amkeni!—2013
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
  • Je, Kuna Serikali Imara Inayoweza Kuitawala Dunia?​—Biblia Inasema Nini?
    Habari Zaidi
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
wp16 Na. 5 uku. 16
Nuru kutoka katika kiti cha ufalme mbinguni, ikiangazia dunia

Biblia Inasema Nini?

Ufalme wa Mungu ni nini?

BAADHI YA WATU HUSEMA kwamba Ufalme wa Mungu upo moyoni; wengine wanafikiri kwamba ni jitihada za wanadamu za kuleta ulimwengu wenye amani na undugu. Wewe una maoni gani?

BIBLIA INASEMA HIVI:

“Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaharibiwa kamwe. . . . Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote [za wanadamu].” (Danieli 2:44) Ufalme wa Mungu ni serikali halisi.

MAMBO MENGINE TUNAYOJIFUNZA KATIKA BIBLIA

  • Ufalme wa Mungu unatawala kutoka mbinguni. —Mathayo 10:7; Luka 10:9.

  • Mungu anatumia Ufalme huo kutimiza mapenzi yake mbinguni na duniani.—Mathayo 6:10.

Ufalme wa Mungu utakuja lini?

UNGEJIBUJE?

  • Hakuna anayejua

  • Hivi karibuni

  • Hautakuja kamwe

BIBLIA INASEMA HIVI:

“Hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote; na ndipo ule mwisho utakapokuja.” (Mathayo 24:14) Baada ya habari njema kuhubiriwa kikamili, Ufalme huo utakuja na kukomesha mfumo huu mwovu.

NI NINI KINGINE TUNACHOJIFUNZA KATIKA BIBLIA?

  • Hakuna hata mtu mmoja duniani anayejua kikamili wakati ambao Ufalme wa Mungu utakuja.—Mathayo 24:36.

  • Unabii wa Biblia unaonyesha kwamba Ufalme huo utakuja hivi karibuni.—Mathayo 24:3, 7, 12.

Kwa habari zaidi, soma sura ya 8 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Nini Hasa?, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki