Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w81 12/15 kur. 22-24
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1981

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1981
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • NENO LA MUNGU LI HAI
  • UFAHAMU KATIKA HABARI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
w81 12/15 kur. 22-24

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1981

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala Inapatikana

BIBLIA

Je! Kitabu Hiki Kinaweza Kukusaidia Ufanikiwe? 10/1/81

Je! Yakupasa Uiamini Biblia? 3/15/81

Kitabu cha Mithali—Kimejaa Hekima Katika Maneno Machache 3/1/81

Kutimizwa kwa Neno la Mungu Ni Hakika 7/15/81

Msaada Hakika Kutoka kwa Neno la Mungu 1/1/81

Ubukuzi wa Mambo ya Kale Waithibitisha Biblia 3/15/81

Uwezo Wenye Kutegemeza wa Neno la Mungu 1/15/81

Zaburi (Mazungumzo ya Zaburi mbalimbali yanapatikana katika matoleo mara kwa mara.)

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Dhambi—Ina Ubaya? 4/15/81

Fanikisha Maisha Yako Sasa 10/1/81

Heshimu Mpango wa Yehova kwa Unyenyekevu kama Malaika 4/1/81

Je! Wewe Unaridhika na Kile Ulicho Nacho 6/1/81

Je! Wewe Unathamini Kuwa Pamoja na Watumishi wa Mungu? 6/1/81

Je! Wewe Unathamini “Mtumwa Mwaminifu Mwenye Akili”? 8/15/81

“Kuzaa Matunda Katika Kila Kazi Njema” 6/15/81

Kwa Nini Ufanye Yaliyo Haki? 12/15/81

Matendo Yetu Yanakuwa na Matokeo Juu ya Kundi 3/1/81

“Nuru Yenu na Iangaze” 9/15/81

Sababu Gani Usimsalimu Mtu? 2/15/81

Sababu Gani Uuzuie Ulimi Wako? 7/1/81

Tazama Mbele Kabisa Ukiwa Mkristo 9/15/81

Unaweza Kuzuia Hasira Yako 12/1/81

Wakati Usio wa Kujihurumia 11/15/81

Wakati wa Kungojea kwa Uvumilivu 10/15/81

Wewe Unafurahishwa na Mambo Anayochukia Mungu? 12/1/81

Yafaa Kuzuia Kiburi Chako 7/15/81

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

“Amani ya Mungu Inayoshinda Mawazo Yote” 4/15/81

Baada ya Hizi “Siku za Mwisho” Ufalme wa Mungu wa Kimasihi! 3/15/81

Barabara Inayoongoza Kwenye Afya Yafunguliwa na Mungu 5/15/81

Endeleeni ‘Kuwa Imara Katika Imani’ 1/15/81

“Furahini, Enyi Mataifa, Pamoja na Watu Wake” 11/15/81

Hali ya Afya Ambayo Wanadamu Wangekuwa Nayo 5/15/81

Ikiwa Mungu Ana Tengenezo, Ni Tengenezo Gani? 10/1/81

Je! Siku ya Mungu ya Kisasi Inakaribia? 7/1/81

Je! Tunakaribia Har–Magedoni? 4/1/81

Je! Wewe Ni Mtangazaji Mshikamanifu wa Ufalme wa Mungu? 6/1/81

Je! Wewe Waweza Kusaidia Wajane na Yatima ‘Katika Shida Zao”? 3/1/81

Jifanyie Jina Lako Zuri Sasa! 7/15/81

Jifanyie Jina Zuri Pamoja na Mungu 7/15/81

“Katika Siku za Mwisho” Tangu Wakati Gani? 3/15/81

Kimbilia Ufalme wa Mungu! 5/1/81

‘Kufanya Kazi kwa Bidii na Kujikaza’ 6/15/81

Kuonyesha Kupendezwa na “Kundi la Mungu” 2/15/81

Kupata Furaha ya Kweli Kunategemea Wewe 9/1/81

“Kushiriki Katika Kazi Takatifu ya Habari Njema” 6/15/81

Kutoa Onyo la Kimungu 8/1/81

Lile Tumaini la Mileani Lashinda 9/15/81

Mashahidi Mpaka Kwenye Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia 8/15/81

“Mchungaji Mwema” na Lile “Kundi Dogo” 1/1/81

“Mchungaji Mwema” na “Kondoo Wengine” Wake 1/1/81

Misaada Katika Kujiendesha Wenyewe kama Watu Wadogo Zaidi 11/1/81

“Mkaribishane” 11/15/81

“Mkutano Mkubwa” Wamtolea Mungu Utumishi Mtakatifu Wapi? 2/1/81

“Msihangaikie Cho Chote” 4/15/81

Mungu wa Upendo Huchukia Kutaliki 12/1/81

Mwache Mungu Awe Katika Ndoa Yako 12/1/81

Nendeni! Mkafanye Wanafunzi 8/15/81

Ni Nani Atakayemsifu Mfalme? 6/1/81

Sababu Gani Mungu wa Upendo Atalipa Kisasi? 7/1/81

Sehemu Yenye Kuonekana ya Tengenezo la Mungu 10/1/81

Toba Inayorudisha Mtu kwa Mungu 12/15/81

Tutachagua Tengenezo Jipi—la Yehova au la Shetani? 10/1/81

Tutaokokaje? 5/1/81

Twashukuru kwa Ajili ya ‘Tumaini Letu la Furaha’ 9/1/81

Ule Ufalme—Je! Ni Jambo Halisi Kwako? 10/15/81

Utumishi Mtakatifu Katika Huu “Wakati wa Mwisho” 2/1/81

Uwe Mwenye Hekima—Jiendeshe Mwenyewe kama Mtu Mdogo Zaidi 11/1/81

Uwe na Imani Katika Ule Ufalme! 10/15/81

Wakristo na Tumaini la Mileani 9/15/81

Wampendao Mungu Waazimia 8/1/81

Waangalizi—Iweni Mifano Myema kwa “Kundi” 2/15/81

Wakati wa Kuwapo kwa Mlinzi kama Ezekieli 8/1/81

Wazazi Wasio na Wenzi Wanashindana na Matatizo ya Ulimwengu wa Leo 3/1/81

Wenye Furaha Ni Wale Ambao Mungu Huwatia Adabu 12/15/81

Wenye Uhakika Katika Ulimwengu Unaozungukwa na Mashaka 1/15/81

“Yule Kahaba Mkuu” Akaribia Kuuawa Kwake 4/1/81

MAMBO MENGINE

“Afadhali Kuwa Wawili Kuliko Mmoja” 7/15/81

Amani ya Kweli ya Akili Inaletwa na Nini? 4/15/81

Hana—Mwanamke Aliyepata Faraja Katika Sala 8/1/81

Hatari za Tumbako kwa Afya Zafichwa 11/1/81

Je! Dini Zote Zawaongoza Watu kwa Mungu? 9/1/81

Imani Imekwenda Wapi? 11/15/81

Je! Ni Kweli Kwamba “Wote Wamefanya Dhambi”? 4/15/81

Je! Tunahitaji Msaada Kuielewa Biblia? 12/1/81

Je! Unaweza Kumpenda Jirani Yako na Bado Uvute Sigara? 8/1/81

Je! Waweza Kuwa Adui Yako Wewe Mwenyewe? 1/1/81

Kifaa kwa Wanafunzi na Waalimu 4/1/81

Kiliwasaidia Waache Kuvuta Sigara 9/15/81

Kitabu Kinachosaidia Watu 11/1/81

Kuondoa Doa la Dhambi 4/15/81

“Kuwaogopa Wanadamu Huleta Mtego” 12/15/81

Maonyo Yanayopaswa Kufuatwa 5/1/81

Mefiboshethi—Mwanamume Mwenye Kuthamini 5/1/81

Mfalme Aliyesahau Shukrani 12/15/81

Mfalme Sulemani Mwenye Hekima Alisema Hivi: 2/15/81

Mithali ya Hekima 5/1/81

Msingi wa Imani Iliyohakikishwa 11/15/81

Mwabudu Mungu Katika Njia Yake 9/1/81

Namna ya Kuacha Kuvuta Sigara 8/1/81

Nani Anayeweza Kuridhika? 8/15/81

‘Ni Neno Jema Kama Nini Wakati Ufaao!’ 1/15/81

Ni Nini Ufunguo wa Kupata Furaha? 11/1/81

Rebeka—Abarikiwa na Yehova 9/15/81

Sala na Jitihada Zathawabishwa 5/15/81

Sala Yake Ilijibiwa 4/1/81

Sherehe Isiyo na Mfano Wake 7/1/81

Uchawi Waachwa 2/15/81

Unaweza Kupata Furaha! 11/1/81

Unaweza Kuridhika na Fungu Lako Maishani? 8/15/81

Usalama Sasa na Milele 2/15/81

Utafutaji wa Usalama 2/15/81

Wakati Shauri la Mungu Linapokosa Kufuatwa 5/1/81

Wakati Ujao kwa Washikamanifu wa Mungu 7/1/81

Yanayompata Mvutaji wa Sigara 8/1/81

MASHAHIDI WA YEHOVA

Imani Inafaa!—Ushuhuda Kutoka Kambi za Mateso 11/15/81

‘Kila Silaha Itakayofanywa Juu Yako Haitafanikiwa’ 1/1/81

Kuendelea Kuwa Imara Katika Imani Nyakati za Magumu 12/15/81

Kwa Sababu Wanashikamana na Neno la Mungu 1/15/81

Tumaini la Msichana Huyu Ni Halisi 11/1/81

(Historia ya Mashahidi wa Yehova Katika Nyakati za Kisasa imeelezwa katika matoleo machache.)

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Kumtumikia Mungu Nyakati za Magumu 10/15/81

Namna Magumu ya Ndoa Yao Yalivyomalizwa 1/15/81

Namna Walivyopata Maisha ya Jamaa Yenye Furaha 7/1/81

Ninafurahi Kutumikia Mungu Anayekumbuka 3/1/81

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Biblia inatoa uongozi gani kuhusu kucheza kamari? 10/15/81

Ingefaa kusali kwa ajili ya mtu ambayo ametengwa? 7/1/81

Kichwa cha “nyoka” kitapondwa wakati gani 7/1/81

Mbingu . . . lazima kufuata maamuzi yanayofanywa . . . duniani? 12/1/81

“Roho za watu waadilifu” . . . katika Waebrania sura ya 11? 3/15/81

Sababu gani Mashahidi wa Yehova hawasherehekei kuzaliwa kwao? 4/1/81

Ufunuo 19:19-21 . . . “wale waliosalia” watauawa kwa upanga. Ni nani “wale waliosalia”? 7/15/81

NENO LA MUNGU LI HAI

(Hadithi za Biblia zinazotokea katika matoleo mara kwa mara.)

UFAHAMU KATIKA HABARI

(Sehemu hii inatokea mara kwa mara.)

YEHOVA MUNGU

Hali Inayokubalika Mbele za Yehova 1/1/81

Jina la Yehova—Ulinzi 4/15/81

Ushuhuda Mkubwa wa Utukufu wa Mungu na wa Kwamba Yeye Ndiye Muumba 5/15/81

Ushuhuda wa Kuwako kwa Muumba 5/15/81

‘Yehova wa Majeshi’ Aenda Kuokoa! 5/15/81

YESU KRISTO

“Aliwapenda Mpaka Mwisho” 2/1/81

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki