FEBRUARI 23–MACHI 1
ISAYA 38-40
Wimbo 4 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
Mchungaji katika Israeli la kale akiwa amembeba kondoo mikononi mwake
1. “Atalitunza Kundi Lake Kama Mchungaji”
(Dak. 10)
Yehova ametuandalia Neno lake Biblia na kulihifadhi, ili kutuvuta kwake (Isa 40:8; w23.02 2-3 ¶3-4)
Anatujali kwa wororo (Isa 40:11; cl 70 ¶7)
Anatujua kibinafsi, naye anatusaidia kukabiliana na matatizo yetu (Isa 40:26-29; w18.01 8 ¶4-6)
JAMBO LA KUTAFAKARI: Ufafanuzi wa mchungaji unaopatikana kwenye Isaya 40:11 unakufanya uhisije kumhusu Yehova?
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Isa 40:3—Maneno haya yalitimiaje katika karne ya kwanza W.K.? (ip-1 400 ¶7)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Isa 40:21-31 (th somo la 11)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Tafuta fursa ya kumweleza mtu huyo kuhusu jambo ulilojifunza katika mkutano wa hivi karibuni. (lmd somo la 4 jambo kuu la 3)
5. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Tafuta fursa ya kumweleza mtu huyo kuhusu kazi unayofanya ukiwa mwalimu wa Biblia. (lmd somo la 4 jambo kuu la 4)
6. Kufuatia Upendezi
(Dak. 2) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo la 7 jambo kuu la 5)
7. Kufanya Wanafunzi
(Dak. 5) lff somo la 18 muhtasari, ungejibuje, na lengo. Tumia makala kutoka kwenye sehemu ya “Chunguza Zaidi” ili kumsaidia mwanafunzi wako athamini upendo uliopo miongoni mwa Mashahidi wa Yehova. (lmd somo la 11 jambo kuu la 3)
Wimbo 160
8. Ripoti ya Utumishi ya Kila Mwaka
(Dak. 15) Mazungumzo.
Baada ya kusoma tangazo kutoka kwenye ofisi ya tawi kuhusu ripoti ya utumishi ya kila mwaka, waalike wasikilizaji waeleze mambo mengine mazuri waliyoona kwenye Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Ulimwenguni Pote ya 2025. Wahoji wahubiri waliotayarishwa mapema ambao walijionea mambo yenye kutia moyo katika huduma mwaka uliopita.
Based on NASA/Visible Earth imagery
Katika mwaka wa 2025, watu wa Yehova waliendelea kukazia uangalifu huduma ya nyumba kwa nyumba na kazi ya kuongoza mafunzo ya Biblia
Ni mambo gani yenye kuvutia kutoka kwenye Ripoti ya Utumishi ya Mwaka wa 2025 ambayo ungependa kushiriki?
9. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo la 64-65