Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Novemba uku. 11
  • Utimilifu na Mawazo Yako

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utimilifu na Mawazo Yako
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Maamuzi Yanayoonyesha Unamtegemea Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Tafuta Majibu ya Maswali Haya
    Programu ya Kusanyiko la Mzunguko la 2025-2026 Lililo na Mwangalizi wa Mzunguko
  • Tafuta Majibu ya Maswali Haya
    Programu ya Kusanyiko la Mzunguko la 2025-2026 Lililo na Mwakilishi wa Ofisi ya Tawi
  • Andika Maendeleo Yako
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Novemba uku. 11
Dada akitazama nje ya dirisha akiwa ameridhika.

MAISHA YA MKRISTO

Utimilifu na Mawazo Yako

Tunaonyesha utimilifu si tu kupitia mambo tunayosema bali pia kupitia mambo tunayofikiria. (Zb 19:14) Hivyo, Biblia inatuhimiza tufikirie mambo yoyote yaliyo ya kweli, ya hangaiko zito, ya uadilifu, safi kiadili, yanayopendeka, yanayosemwa vema, ya wema wa adili, na yanayostahili sifa. (Flp 4:8) Bila shaka, hatuwezi kuzuia kabisa mawazo mabaya yasiingie katika akili zetu. Hata hivyo, kujizuia kunaweza kutusaidia kuondoa wazo baya na kulibadili na wazo linalofaa. Kudumisha utimilifu katika kufikiri kwetu kutatusaidia kudumisha utimilifu katika matendo yetu.—Mk 7:​21-23.

Chini ya maandiko yafuatayo, andika aina ya kufikiri ambako tunapaswa kuepuka:

Ro 12:3

Lu 12:15

Mt 5:28

Flp 3:13

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki