Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Julai uku. 8
  • Je, Unajifunza Kutokana na Makosa Yako?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Unajifunza Kutokana na Makosa Yako?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Ninaweza Kurekebishaje Makosa Yangu?
    Majibu Ya Maswali 10 Ambayo Vijana Huuliza
  • Iga Jinsi Yehova Anavyotumia Mamlaka Yake
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Kwa Nini Ukubali Kosa?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
  • Mtazamo Unaofaa Kuhusu Makosa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Julai uku. 8
Dada akisoma Biblia na kutafakari jinsi Adoniya alivyotenda. Picha: 1. Adoniya akishika pembe za madhabahu. 2. Adoniya akimsihi Bath-sheba.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Je, Unajifunza Kutokana na Makosa Yako?

[Onyesha video ya Utangulizi wa 1 Wafalme.]

Adoniya alionyeshwa rehema baada ya kupanga njama ya kunyakua ufalme (1Fa 1:5, 52, 53; it-2 987 ¶4)

Adoniya hakujifunza kutokana na makosa yake na alipatwa na matokeo mabaya (1Fa 2:15-17, 22, 23; it-1 49)

Mtu mwenye hekima hujifunza kutokana na makosa yake. Hata hivyo, ni bora zaidi kujifunza kutokana na makosa ya wengine.​—1Ko 10:11.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki