Wewe Unatafuta Mwenzi wa Ndoa?
Ni sifa gani katika mwenzi wa ndoa zitakazosaidia zaidi ndoa iwe yenye furaha? Mwanamke kijana, aliyekuwa ameshindwa kujua, aliandika hivi katika barua ya kurudisha shukrani:
“Kusema kweli mimi sikuwa na mahali pa kutegemea nipate habari zinazohusu kuchagua mwenzi wa ndoa, wala sikujua ni maulizo gani ambayo mtu anapaswa kujiuliza anapofikiria kuolewa. Nimekuwa nikiendelea kusali ili Yehova anipe msaada katika kuchagua mwenzi wa ndoa . . . Ilikuwa kama ndoto kwangu wakati kitabu “Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha’’ kilipotolewa. Hakika hicho kilikuwa jibu kwa sala zangu. Nami najua kitanisaidia niwe mke mwema, mke atakayeonewa fahari na mume wake. Ninawapigia asante kwa kuchapisha kitabu kipya hicho. Mimi nakithamini sana.”
Ikiwa wewe unataka kuongeza furaha katika ndoa yako, unaweza kufaidika kutokana na kitabu hicho. Pokea nakala moja kwa kujaza hati hii yenye anwani.
Nawaomba mnitumie kile kitabu chenye ngozi ngumu cha kurasa 192, Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Mimi nimewapelekea Kshs. 6/50 i (Tshs. 10/-, RWF 75). Ninyi mtanilipia malipo ya kukituma kwa posta.